Habari za Punde

Mkutano wa wadau wa utalii wafanyika ukumbi wa Baraza la Mji Chakechake

 Mwenyekiti Kamisheni ya Utlii Zanzibar Sabaah Saleh Ali akifunguwa Mutano  waWadau wa Utalii katika  Ukumbi wa Braza la Mji  chake-chake Kisiwani Pemba (kulia) Afisa Mdhamini Wizara ya Habari Utalii  na Mamboyakale Pemba Khatib Juma Mjaja na  Katibu Mtendaji Kamisheini ya Utalii Zanzibar Abdalla Juma.
 Mkurugenzi Masoko Kamishineni ya Utalii Zanzibar Dk. Miraji Ukuti akiwasilisha mada Hali ya Utalii katika Kisiwa cha Pemba  katika Ukumbi wa Baraza la Mji Chake-chake lililowashirikisha wadau wa Utalii.
 Afisa Takwimu Kamisheni ya Utalii Pemba Hamad Khamis Rashid akiwasilisha mada Ukusanyaji wa Takwimu katika sekta ya Utalii Ukumbi wa Baraza la Mji Chake-chake.
 Kijana Omar Ali Khamis  kutoka Mozeti Tours akitoa mchango baada ya kuwasilishwa mada katika Ukumbi wa Mkutano Baraza la Mji Chake-chake Pemba.
Mratibu Mwandamizi wa Uhamiaji kutoka Kisiwani Pemba Ramadhan Makame akitowa ufafanuzi juu ya uhalali wa uingiyaji wa Wageni katika Mkutano huo uliyofanyika Kisiwani Pemba.
                                    Picha na Miza Othman –Maelezo Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.