Habari za Punde

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kumejitokeza baadhi ya vyombo vya habari  kuliita na kulitangaza Jumba la Wananchi Forodhani kuwa “Jumba la Mfalme”
Serikali ya Mapinduzi  Zanzibar inapenda kuvijulisha vyombo vya habari na Wananchi kwa ujumla usahihi wa jina la Jumba la Wananchi kama ilivyotangazwa katika Gazeti Rasmi la Serikali.
Tunapenda  kusisitiza matumizi sahihi katika kuandika na kutamka jina rasmi la JUMBA LA WANANCHI.
Imetolewa na :
Dkt Juma Mohammed Salum
Mkurugenzi

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.