Habari za Punde

Kikao cha kamati ndogo ya kuandaa mpango wa muda mfupi wa kukuza utalii Kisiwani Pemba chafanyika Pemba

 Afisa Mdhamini Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya kale Pemba Khatib  Juma Mjaja akimkaribisha Naibu Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya kale Chumu Kombo Khamis katika kikao cha Kamati ndogo ya kuandaa mpango wa muda mfupi wa kukuza utalii Kisiwani Pemba   kikao hicho kimefanyika Ukumbi wa Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Pemba.
 Naibu wa Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya kale Zanzibar Chum Kombo Khamis akizungumza na Wajume wa Kamati  ndogo ya kuandaa mpango wa muda mfupi wa kukuza utalii Kisiwani Pemba   kulia ni Afisa Mdhamini Pemba Khatib Juma Mjaja  kikao hicho kilichofanyika Ukumbi wa Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Pemba.
  Wajumbe wa Kamati  ndogo ya kuandaa mpango wa muda mfupi wa kukuza utalii Kisiwani Pemba wakichukua Maelezo kwa Naibu Waziri wa Habari Chumu Kombo Khamis hayupo pichani mara alipofika katika kamati hiyo katika Ukumbi wa Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Kisiwani Pemba.
 Afisa  Mipango Kamisheni ya Utalii Pemba Hamad Amini Ali akitoa ushauri katika kamati ndogo ya kuandaa mpango wa muda mfupi wa kukuza utalii Kisiwani Pemba juu ya kuutangaza utalii kuanda na kutumia vipeperushi  maalumu Kisiwani humo (kushoto) ni Afisa Utumishi na Uendeshaji Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya kale Moh’d Juma Rashid na Mkuu wa Idara ya Habari  Pemba Maelezo Jamila Abdallah Salim.
 Mratibu Taasisi ya nyaraka na Kumbukumbu za Taifa Pemba ambaeye ni Mjumbe wa Kamati ndogo ya kuandaa mpango wa muda mfupi wa kukuza Utalii Pemba Kombo Khamis Bakar  akitoa ushauri  wa kuiandaa kamati kitaalamu zaid iwe na uwezo wa kufanya kazi kwa uweledi kikao hichi kilichofanyika  Ukumbi wa  Taasisi  ya Nyaraka  na Kumbukumbu Kisiwani Pemba.
Mjumbe wa Kamati ndogo ya kuandaa mpango wa muda mfupi wa kukuza utalii Kisiwani Pemba Hamad Mfaki  Yussuf ameishauri Kamati hiyo kuimarisha sekta ya Utalii Kisiwani Pemba ili kujiwezesha  kumiliki katika ushindani wa sekta hiyo.
                                                       Picha na Miza Othman –Maelezo Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.