Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Naibu Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Daniel Shonza wakati wa Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam
Baadhi ya Wasanii wa Vikundi vya Sanaa kutoka Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia kwenye Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Nne la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam
Baadhi ya Wasanii wa Vikundi vya Sanaa kutoka Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia kwenye Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Nne la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam
Baadhi ya Wasanii wa Vikundi vya Sanaa kutoka Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia kwenye Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Nne la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam
Baadhi ya Wasanii wa Vikundi vya Sanaa kutoka Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia kwenye Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Nne la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam
Baadhi ya Wasanii wa Vikundi vya Sanaa kutoka Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia kwenye Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Nne la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam
Baadhi ya Wasanii wa Vikundi vya Sanaa kutoka Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia kwenye Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Nne la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam
Baadhi ya Wasanii wa Vikundi vya Sanaa kutoka Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia kwenye Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Nne la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia Taifa alipokuwa akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muuungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli kwenye Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga ngoma kama ishara ya Ufunguzi rasmi wa Tamasha la Nne la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Msanii Abdul Nasib Dimond Platnam muda mfupi baada ya kufungua rasmi Tamasha la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST)alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungnao wa Tanzania Dkt. John Magufuli katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment