Tamasha la Jamafest 2019 linazidi kunoga huku wasanii na vikundi mbali mbali vya ngoma vikijitokeza kushiriki kwa ufasaha kwa nchi za Tanzania ambao ni wenyeji, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Tamsaha hilo lililoanza Sepetemba 21 linatarajiwa kumalizika Septemba 28, 2019.
WASHINDI WA MASHINDANO YA UBUNIFU WAPEWA MAFUNZO NA COSTECH
-
*WABUNIFU wametakiwa kujua jinsi ya kulinda bunifu zao kwa kutumia mihimili
ya miliki bunifu ikiwa ni pamoja na kujua nyenzo wanazoweza kuzitumia,
hatua na...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment