Tamasha la Jamafest 2019 linazidi kunoga huku wasanii na vikundi mbali mbali vya ngoma vikijitokeza kushiriki kwa ufasaha kwa nchi za Tanzania ambao ni wenyeji, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Tamsaha hilo lililoanza Sepetemba 21 linatarajiwa kumalizika Septemba 28, 2019.
RAIS DKT. MWINYI AMUAPISHA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa
Zanzibar.
...
8 hours ago









No comments:
Post a Comment