Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Kamishna Diwani Athumani Msuya Kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 12, 2019
Kamishna Diwani Athumani Msuya Kuwa Mkurugenzi Mkuu wa
Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli akishuhudia Kamishna Diwani Athuman Msuya akisaini hati ya kiapo mara baada ya kuapishwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania , hafla hiyo imefanyika kulu Jijini
Dar es Salaam leo, ambaye anachukua nafasi ya Dkt. Modestus Kipilimba.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli akisaini hati ya kiapo mara baada ya kumuapisha Kamishna Diwani Athuman Msuya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Ikulu Jijini
Dar es Salaam, ambaye anachukua nafasi ya Dkt. Modestus Kipilimba.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli akimkabidhi vitendea kazi Kamishna Diwani Athuman Msuya mara baada ya kumuapisha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Ikulu Jijini
Dar es Salaam, ambaye anachukua nafasi ya Dkt. Modestus Kipilimba.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli akishuhudia Kamishna Diwani Athuman Msuya akiapa kaipo cha
Maadili kwa Viongozi wa Utumishi wa Umma mara baada ya kuapishwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Ikulu Jijini
Dar es Salaam, ambaye anachukua nafasi ya Dkt. Modestus Kipilimba.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza mara baada ya kumuapisha Kamishna Diwani Athuman Msuya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Ikulu Jijini
Dar es Salaam, ambaye anachukua nafasi ya Dkt. Modestus Kipilimba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli akimpongeza Kamishna Diwani Athuman Msuya mara baada ya kumuapisha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania, hafla hiyo imefanyika Ikulu Jijini
Dar es Salaam, ambaye anachukua nafasi ya Dkt. Modestus Kipilimba.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Kamishna Diwani Athuman Msuya mara baada ya kumuapisha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania, hafla hiyo imefanyika Ikulu Jijini
Dar es Salaam leo, ambaye anachukua nafasi ya Dkt. Modestus Kipilimba.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment