Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Usirikiano wa Afrika ya Mashariki. Profesa Palamagamba Kabudi katika Mkutano wa TICAD 7 uliofanyika kwenye Ukumbi wa hoteli ya Pscifico Yokohama nchini Japan, hivi karibuni. Mkutano huo umemalizika na wote wamerejea nyumbani.
uzinduzi wa Ushirika Online TV katika hafla ya kilele cha maadhimisho ya
siku ya Ushirika duniani
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akibonyeza
kitufe kuashiria uzinduzi wa Ushirika Online TV katika hafla ya kilele cha
maad...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment