Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Usirikiano wa Afrika ya Mashariki. Profesa Palamagamba Kabudi katika Mkutano wa TICAD 7 uliofanyika kwenye Ukumbi wa hoteli ya Pscifico Yokohama nchini Japan, hivi karibuni. Mkutano huo umemalizika na wote wamerejea nyumbani.
Uzuri wa Tanzania Kupitia Sanaa, Vivo Energy Yazindua mashindano ya Awamu
ya pili kwa shule za Sekondari na Vyuo nchini
-
Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika shule ya Sekondari Jangwani wakiwa
katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali waliofika shuleni kwaajili ya
uz...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment