Mshambulizi wa Timu ya Jangombe Boys akiwapita mabeki wa Timu ya Polisi wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu ya Polisi imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
WIZARA YA FEDHA YAENDELEA KUPONGEZWA KWA WELEDI WA UTOAJI ELIMU
-
Na. Peter Haule na Chedaiwe Msuya, Dodoma
Naibu Waziri wa Ofi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Deus Sangu (Mb) ameipongeza W...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment