Mshambulizi wa Timu ya Jangombe Boys akiwapita mabeki wa Timu ya Polisi wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu ya Polisi imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
VICTORIA FOUNDATION YAKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA SHULE 25 MKOANI GEITA.
-
Taasisi ya Victoria Foundation kwa kushirikiana na Orica Tanzania
inatekeleza mradi wa hatua kwa hatua uitwao Binti Ng'ara, kwa ajili ya
kumsaidia mtoto wa...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment