Mchezaji wa Timu ya Mlandege kushoto na wa JKU, wakiruka kuwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya Mlandege imetoka kivua mbele kwa kuichapa Timu ya JKU kwa mabao 2-0.
PPAA yatoa elimu matumizi ya Moduli Wiki ya Utumishi wa Umma
-
Na Mwandishi wetu, Dodoma
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeshiriki maadhimisho ya
kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma, yanayojumuisha Wi...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment