Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar Kati ya Timu ya Mlandege na JKU Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Mlandege Imeshinda Mchezo Huo Kwa Bao.2-0.

Mchezaji wa Timu ya Mlandege kushoto na wa JKU, wakiruka kuwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya Mlandege imetoka kivua mbele kwa kuichapa Timu ya JKU kwa mabao 2-0.
















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.