Habari za Punde

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI JIJINI DODOMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo Octoba 29,2019 katika Ukumbi wa TAMISEMI Jijini Dodoma.    (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.