Habari za Punde

Ziara ya Miss World 2018 Vanessa Ponce Jijini Arusha.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa taulo za kike (Uhurupads) uliofanyika katika shule ya sekondari Moshono leo jijini Arusha.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akiongea na wanafunzi wa shule ya sekondari Moshono leo jijini Arusha.
Mwenyekiti na Mwendeshaji wa Shindano la Miss World Bi Julia Morley (kushoto) akisisitiza kufurahishwa kwake na hatua zinazochukuliwa na Serikali ya Tanzania ambapo ni mara ya kwanza kwake kuja nchini. Kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Miss World 2018 Vanessa Ponce kutoka Mexico (kushoto) na Miss Tanzania 2019 Sylivia Sebastian (kulia).
Miss World 2018 Vanessa Ponce kutoka Mexico (kushoto) na Miss Tanzania 2019 Sylivia Sebastian (kulia) wakiwa katika moja ya matukio wakati wa uzinduzi wa taulo za kike (Uhurupads) uliofanyika katika shule ya sekondari Moshono leo jijini Arusha.
Miss Tanzania 2019 Sylivia Sebastian (kulia) akisistiza jambo wakati wa uzinduzi wa taulo za kike (Uhurupads) uliofanyika katika shule ya sekondari Moshono leo jijini Arusha.
Miss World 2018 Vanessa Ponce kutoka Mexico akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa taulo za kike (Uhurupads) uliofanyika katika shule ya sekondari Moshono leo jijini Arusha.
Miss Tanzania 2019 Sylivia Sebastian (kulia) akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa taulo za kike (Uhurupads) uliofanyika katika shule ya sekondari Moshono leo jijini Arusha.

Miss World 2018 Vanessa Ponce kutoka Mexico (kushoto) na Miss Tanzania 2019 Sylivia Sebastian (kulia) wakifurahia jambo wakati wa uzinduzi wa taulo za kike (Uhurupads) uliofanyika katika shule ya sekondari Moshono leo jijini Arusha.
(Picha na Eleuteri Mangi, WHUSM, Arusha)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.