Habari za Punde

Hoteli ya Kitalii ya Makangale Pemba Yakabidhiwa Cheti Cha Shukrani

 
Meneja wa Hoteli ya Kitalii ya AYYANA, ilioko Makangale Wilaya ya Micheweni,  Mr ,Philippe  Dupont, akipokea cheti cha shukrani kutoka kwa Ofisa Mdhamini Wizara ya Habari , Utalii na Mambo ya Kale Pemba Khatib Juma Mjaja , kwa kuchangia tamasha la Utalii wa Vyakula vya asili lilifanyika Kisiwani Pemba kuanzia tarehe 31 October hadi tarehe 2 Novemba 2019.

Meneja wa Hoteli ya Kitalii ya AYYANA, ilioko Makangale Pemba, Mr.Philippe Dupont, akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi na walimu wa Skuli za Sekondari walioshinda katika Kongamano la Bonanza la Utalii wa Vyakula vya asili lilifanyika Kisiwani Pemba.
Picha na  Juma Seif -Maelezo Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.