Mkuu wa Takwimu za Bei kutika Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Abdul-Rahman Msham(katikati)akitoa takwimu za Bei ambapo imeonekana kupanda Asilimia 3.1 kwa mwezi wa Novemba 2019 ukilinganisha na 2.4 kwa mwezi wa Octoba 2019 hafla iliofanyika ukumbi wa Mtakwimu mkuu mazizini Zanzibar.
Baadhi ya Wandishi wa Habari waliohudhuria katika hafla ya utoaji wa takwimu za Bei ambapo imeonekana kupanda Asilimia 3.1 kwa mwezi wa Novemba 2019 ukilinganisha na 2.4 kwa mwezi wa Octoba 2019 hafla iliofanyika ukumbi wa Mtakwimu mkuu mazizini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment