Habari za Punde

Kampuni ya Sigara Tanzania Yakabidhi Msaada wa Vifaa Visaidizi Kwa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar Vyenye Thamani ya Shs Milioni 45.

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Mihayo Juma Nhunga akimkabidhi mmoja ya Wanachama wa  SHIJUWAZA Ndg. Hajiu Makame Khamis, baskeli ya maringi matatu, wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Jijini Zanzibar, Vifaa hivyo vimetolewa na Kampuni ya Sigara Tanzania.



Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Mihayo Juma Nhunga, akimkabidhi baskeli ya maringi matatu Mwanachama wa SHIJUWAZA Bi. Amina Hemed  Othman (katikati kwa Naibu Waziri) Mwenyekiti wa Jumuiya  ya SHIJUWAZA Bi. Mwandawa Khamis Mohammed , Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo  wa TCC.Bi. Awaichi Mawalla na Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano TCC..Ndg. Godson Killiza, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Jijini Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Mihayo Juma Nhunga, akimkabidhi (wheel chair)  Mwanachama wa SHIJUWAZA Ndg. Abubakar Bakari, (katikati kwa Naibu Waziri) Mwenyekiti wa Jumuiya  ya SHIJUWAZA Bi. Mwandawa Khamis Mohammed , Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo  wa TCC.Bi. Awaichi Mawalla na Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano TCC..Ndg. Godson Killiza, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Jijini Zanzibar.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Mihayo Juma Nhunga, akimkabidhi (wheel chair)  Mwanachama wa SHIJUWAZA Bi.Safia Haji Khatib, (katikati kwa Naibu Waziri) Mwenyekiti wa Jumuiya  ya SHIJUWAZA Bi. Mwandawa Khamis Mohammed , Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo  wa TCC.Bi. Awaichi Mawalla na Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano TCC..Ndg. Godson Killiza, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Jijini Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Mihayo Juma Nhunga, akimkabidhi  visaidizi Mwanachama wa SHIJUWAZA Ndg. Salum Othman hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Jijini Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Mihayo Juma Nhunga, akimkabidhi  visaidizi fimbo nyeupe Mwanachama wa SHIJUWAZA wakati wa hafla hiyo  iliofanyika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Jijini Zanzibar.







No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.