Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihotubia
katika kikao cha Viongozi na
Watendaji wa Chama na Jumuiya zake za Mikoa na Wilaya kilichofanyika katika
Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere Jijini
Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihotubia
katika kikao cha Viongozi na
Watendaji wa Chama na Jumuiya zake za Mikoa na Wilaya kilichofanyika katika
Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere Jijini
Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Viongozi wengine wa Serikali na Chama katika kikao cha Viongozi na Watendaji wa Chama na Jumuiya
zake za Mikoa na Wilaya kilichofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha
Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es salaam
Wanachama wa CCM wakimshangilia Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahotubia katika kikao cha Viongozi na Watendaji wa Chama na Jumuiya
zake za Mikoa na Wilaya kilichofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha
Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa
na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwaaga
wajumbe wa kikao cha Viongozi na Watendaji wa
Chama na Jumuiya zake za Mikoa na Wilaya kilichofanyika katika Ukumbi wa Kituo
cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es salaam. Januari
24, 2020
No comments:
Post a Comment