Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akishuhudia utiaji saini wa mikataba ya makubaliano ya
kuendesha kwa pamoja kapuni ya Twiga ya uchimbaji wa Madini kati ya Serikali ya
Tanzania na Kampuni ya Barrick ambapo kwasasa kampuni mpya ya ubia ya Twiga,
Serikali itakuwa na hisa ya asilimia 16 .Halfa iliyofanyika Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Waziri wa Madini Mhe. Dotto Biteko akiwa na Rais
wa kampuni ya Barrick Dkt. Mark Bristow wakionyesha Mikataba iliyosainiwa mbele
ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika hafla
ya utiaji saini wa mikataba ya makubaliano ya kuendesha kwa pamoja kapuni ya
Twiga ya uchimbaji wa Madini kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick
ambapo kwasasa kampuni mpya ya ubia ya Twiga, Serikali itakuwa na hisa ya
asilimia 16 Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akipeana mkono na Rais wa kampuni ya Barrick Dkt. Mark
Bristow katika hafla ya utiaji saini wa mikataba ya makubaliano ya kuendesha
kwa pamoja kapuni ya Twiga ya uchimbaji wa Madini kati ya Serikali ya Tanzania
na Kampuni ya Barrick ambapo kwasasa kampuni mpya ya ubia ya Twiga, Serikali
itakuwa na hisa ya asilimia 16 .Halfa iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa kampuni ya Barrick Dkt. Mark Bristow
akizungumza mbele ya Rais Dkt. John
Pombe Magufuli katika hafla ya utiaji saini wa mikataba ya makubaliano ya
kuendesha kwa pamoja kapuni ya Twiga ya uchimbaji wa Madini kati ya Serikali ya
Tanzania na Kampuni ya Barrick ambapo kwasasa kampuni mpya ya ubia ya Twiga,
Serikali itakuwa na hisa ya asilimia 16 .Halfa iliyofanyika Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mikataba ya
makubaliano ya kuendesha kwa pamoja kapuni ya Twiga ya uchimbaji wa Madini kati
ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick ambapo kwasasa kampuni mpya ya
ubia ya Twiga, Serikali itakuwa na hisa ya asilimia 16 .Halfa iliyofanyika Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Wageni waalikwa wakipiga makofi mara baada yay
a hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
katika hafla ya utiaji saini wa mikataba ya makubaliano ya kuendesha kwa pamoja
kapuni ya Twiga ya uchimbaji wa Madini kati ya Serikali ya Tanzania na Kampuni
ya Barrick ambapo kwasasa kampuni mpya ya ubia ya Twiga, Serikali itakuwa na
hisa ya asilimia 16 .Halfa iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam. Januari 24,
2020.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment