Habari za Punde

Watalii zaidi ya 60 Wawasili na Treni ya Kifahari ya Rovols (Pride of Africa), wakitokea Afrika Kusini, watatembele maeneo mbalimbali ya kitalii nchini ikiwemo Jiji la Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro

Watalii wakishuka kwenye treni ya Kifahari  Rovol Rail( Pride of Africa) iliyowasili leo Januari 25, 2020 katika Stesheni ya Treni TAZARA Jijini Dar es Salaam ikiwa na watalii Zaidi ya 60 kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwemo Marekani na Uingereza  ambao wataende kutalii katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo Jiji la  Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.

Mwimbaji wa Bendi ya Polisi akicheza na mmoja wa  wafanyakazi wa treni ya kifahari ya Rovols (Pride of Afrika), mara baada ya kuwasili kwa treni hiyo Jijini Dar es Salaam ikitokea Afrika ya Kusini ikiwa na  watalii Zaidi ya 60 kutoka nchi mbalimbali duniani  ikwemo Marekani na Uingereza ambao wataende kutalii katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.