Muonekano wa Jengo la Benki ya Watu wa Zanzibar Wete Pemba ambalo linatarajiwa kufungulia katika hafla ya kuadhimisha Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar wiki hii, kuaza kutowa huduma za Kibenki kwa Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba na Vijiji vya Jirani.
PBZ inaonaozea miundombinu ya kuimarisha huduma zake kuwafikia Wananchi kwa ukaribu zaidi.
No comments:
Post a Comment