Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Ali Hassan
Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya
Nne Dkt. Jakaya Kikwete, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali
Iddi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akikata utepe kuzindua Kipindi cha
awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya
Jamii (TASAF iii) katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International
Convention Centre JNICC
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akimkabidhi Kitabu cha Utekelezaji wa Mpango huo wa TASAF III kwa Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa mara baada ya kuuzindua katika ukumbi wa Mikutano wa Julius
Nyerere International Convention Centre JNICC.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akionesha Kitabu cha Utekelezaji wa Mpango huo wa TASAF
pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili
Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu
wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, mara baada ya kuzindua Kipindi cha awamu ya Tatu ya Mpango wa
Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF III) katika
ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre JNICC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza kabla ya kuzindua Kipindi cha
awamu ya Tatu ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya
Jamii (TASAF III) katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International
Convention Centre JNICC
Picha na IKULU.
No comments:
Post a Comment