WAZIRI
wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar. Mhe, Maudline Castico
akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara yake kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, (kushoto)
Katibu Mkuu Jiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Abdulhamid Yahya
Mzee na (kulia) Naibu Waziri Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto
Zanzibar. Mhe. Shadya Mohammed
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto
Zanzibar, katika mkutano wa uwasilishaji taarifa ya Utekelezaji Mpango Kazi wa
Wizara hiyo kwa kipindi cha mwezi wa
Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar..(kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi
Seif Ali Iddi na (kulia kwa Rais) Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la
Mapinduzi.Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee
KATIBU
Mkuu Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar Bi. Fatma
Gharib Bilal akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji Mpango Kazi kuazia mwezi wa
Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar,
ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, (hayupo pichani) kulia
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe,.Balozi Seif Ali Iddi.
BAADHI
ya Wakurugenzi wa Idara za Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto
Zanzibar, wakifuatilia taarifa ya
Utekelezaji wa Mpango Kazi kuazia mwezi
wa Julai hadi Disemba 2019 /2020,
wakati Katibu Mkuu wa Wizara hiyo akiwasilisha taarifa hiyo, katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar.
BAADHI
ya Maofisa wa Idara za Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto
Zanzibar, wakifuatilia taarifa ya
Utekelezaji wa Mpango Kazi kuazia mwezi
wa Julai hadi Disemba 2019 /2020,
wakati Katibu Mkuu wa Wizara hiyo akiwasilisha taarifa hiyo, katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar
BAADHI
ya Maofisa wa Idara za Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto
Zanzibar, wakifuatilia taarifa ya
Utekelezaji wa Mpango Kazi kuazia mwezi
wa Julai hadi Disemba 2019 /2020,
wakati Katibu Mkuu wa Wizara hiyo akiwasilisha taarifa hiyo, katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar
MKURUGENZI
Idara ya Mikopo Ndg. Suleiman Ali akijibu maswali yalioulizwa wakati wa mkutano
huo wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa
mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani)
uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
AFISA
Mdhamini Wizara ya Kazi Uwezeshaji wa Wazee Wanawake na Watoto Pemba Ndg Hakim
Vuai Shein, akijibu maswali wakati wa mkutano wa kuwasilisha taarifa ya
Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara
hiyo kwa mwezi wa Julai hadi Disemba
2019 /2020 , uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MKURUGENZI
Idara ya Uwezeshaji Ndg. Ameir Haji
Sheha akijibu masuali yalioulizwa wakati
wa mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi
wa Wizara yake kwa mwezi wa Julai hadi Disemba
2019 /2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
BAADHI
ya Wakurugenzi wa Idara za Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto
Zanzibar, wakifuatilia taarifa ya
Utekelezaji wa Mpango Kazi kuazia mwezi
wa Julai hadi Disemba 2019 /2020,
wakati Katibu Mkuu wa Wizara hiyo akiwasilisha taarifa hiyo, katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment