Habari za Punde

Waziri Mhe. Zungu Ashiriki Katika Zoezi la Utunzaji wa Mazingira Kwa Kupandi Miti Jijini Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akipanda mti aliposhiriki na kuhamasisha wananchi katika zoezi la upandaji miti katika eneo la Swaswa Minarani jijini Dodoma leo ambapo aliushukuru uongozi wa Benki ya NBC kwa kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuli fanya jiji hilo kuwa kijani kwa kupanda miti ipatayo 1,000.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akisaini kitabu cha wageni alipowasili eneo la Swaswa Minarani jijini Dodoma kwa ajili ya kushiriki zoezi la upandaji miti leo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Benki ya NBC baada ya kupanda miti.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.