KUFUATIA kuwepo kwa ugonjwa wa Corona Tanzania,baadhi ya gari za abiria zimeanza kutekeleza agizo la serikali kuwanawisha mikono abiria wao kabla ya kupanda gari hizo, pichani kondakta wa gari ya abiria yenye ruti 316 Chake Chake-Vitongoji akiwanawisha mikono abiria wake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
Elimu : Awamu ya Sita Yaipiga Jeki Elimu, Walimu Wapongezwa Arusha
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya
maboresho makubwa katika sekta ya elimu mkoani Aru...
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment