KUFUATIA kuwepo kwa ugonjwa wa Corona Tanzania,baadhi ya gari za abiria zimeanza kutekeleza agizo la serikali kuwanawisha mikono abiria wao kabla ya kupanda gari hizo, pichani kondakta wa gari ya abiria yenye ruti 316 Chake Chake-Vitongoji akiwanawisha mikono abiria wake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
Taarifa Ya Mheshimiwa Simai Mohammed Said Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar kwa Umma Leo Siku Ya Ijumaa Tarehe 15 Januari 2021
-
TAARIFA YA MHESHIMIWA SIMAI MOHAMMED SAID WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
AMALI ZANZIBAR KWA UMMA LEO SIKU YA IJUMAA TAREHE 15 JANUARI 2021
Ndugu Wananch...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment