KUFUATIA kuwepo kwa ugonjwa wa Corona Tanzania,baadhi ya gari za abiria zimeanza kutekeleza agizo la serikali kuwanawisha mikono abiria wao kabla ya kupanda gari hizo, pichani kondakta wa gari ya abiria yenye ruti 316 Chake Chake-Vitongoji akiwanawisha mikono abiria wake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR -UFUNGUZI WA KONGAMANO LA MKUPONGEZA
RAIS WA ZANZIBAR
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema katika
kipindi cha miaka mitano iliyopita, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
(WEMA)...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment