Habari za Punde

DKT. BINILITH MAHENGE AMUWAKILISHA WAZIRI MKUU KWENYE MAZISHI YA MZEE MAKBEL

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge akiweka Mchanga kwenye kaburi la Marehemu Mzee Mohammed Makbel ambaye alikuwa Mwenyekiti wa baraza la Wazee Mkoa wa Dodoma, alipomuwakilisha Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, leo tarehe 11.05.2020 Katika Makaburi ya Makbel Jijini Dodoma.
Naibu Waziri-Ofisi ya Waziri Mkuu na Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde, akiweka Mchanga kwenye kaburi la aliyekuwa Mwenyekiti wa baraza la Wazee Mkoa wa Dodoma, Marehemu Mzee Mohammed Makbel, leo tarehe 11.05.2020 Katika Makaburi ya Makbel Jijini Dodoma.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge akitoa salamu za pole kwa niaba ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, wakati wa Mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa baraza la Wazee Mkoa wa Dodoma, Marehemu Mzee Mohammed Makbel, leo tarehe 11.05.2020 Katika Makaburi ya Makbel Jijini Dodoma.
Naibu Waziri-Ofisi ya Waziri Mkuu na Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde akitoa salamu za pole alipohudhuria mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa baraza la Wazee Mkoa wa Dodoma, Marehemu Mzee Mohammed Makbel, leo tarehe 11.05.2020 Katika Makaburi ya Makbel Jijini Dodoma.

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Patrobal Katambi  akitoa salamu za pole alipohudhuria mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa baraza la Wazee Mkoa wa Dodoma, Marehemu Mzee Mohammed Makbel, leo tarehe 11.05.2020 Katika Makaburi ya Makbel Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.