Muonekano wa kupendeza na kuvutiwa likioneka jengo Jipya la ZURA lilioko katika eneo la Maisara Suleiman Jijini Zanzibar. kama linavyoonekana wakati wa usiku likiwa likipendeza, linatarajiwa kuaza kutumia katika mwezi wa Juni 2020.
VIJIJI 11,837 VIMEUNGANISHWA NA UMEME –DKT. BITEKO
-
Serikali imesema hadi kufikia Mwezi, Machi 2024 jumla ya vijiji 11,837 sawa
na asilimia 96.37 ya vijiji vyote 12,318 vya Tanzania Bara vilikuwa
vimeungan...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment