Habari za Punde

Mwakilishi wa Tunguu Kwa Kushirikiana na Taasisi ya Time to Help Kukabidhi Misaada Kwa Wananchi wa Kijiji cha Binguni Wilaya ya Kati Unguja.

Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said akishirikiana na Ndg.Ali Nungu  wa Taasisi ya Kijamii  ya " Time to Help" kulia wakitoa msaada wa vyakula kwa wananchi wa kijiji cha Binguni, Wilaya ya Kati  waliopata  maafa ya kujaa kwa maji katika makaazi yao  kutokana na mafuriko waliyoyapata yaliosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha karibuni. hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Skuli ya Binguni.  
 Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe Simai Mohammed Said akishirikiana na Ndg. Ali Nungu  wa Taasisi ya Kijamii  ya " Time to Help" kulia  wakitoa msaada wa vyakula kwa wananchi wa kijiji cha Binguni, Wilaya ya Kati  waliopata  maafa ya kujaa kwa maji katika makaazi yao  kutokana na mafuriko waliyoyapata yaliosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha karibuni. hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Skuli ya Binguni.
Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Wilaya ya Kati Unguja Mhe. Simai Mohammed Said akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Binguni waliopata janga la mvua za misika kwa kujaa maji katika makazi yao.hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Skuli ya Sekondari Binguni.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.