KUFUATIA Mvua Kuendelea Kunyesha katika maeneo mbali mbali ya Kisiwa Cha Pemba, nao wakulima wa minazi hawako nyuma katika kuimarisha kilimo hicho, pichani baadhi ya wananchi wakichagua minazi bora na mizuri kwenda kupanda ambapo mmoja mche wake unauzwa kati ya shilingi 2000 hadi 2500.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.
BI.TELACK AWATAKA WANAWAKE KUZINGATIA MAADILI KUPUNGUZA ULAWITI NA UBAKAJI
-
* Na Mwandishi wetu- Shinyanga. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainab Telack
amewataka wanawake nchini kuzingatia suala la maadili katika ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment