KUFUATIA Mvua Kuendelea Kunyesha katika maeneo mbali mbali ya Kisiwa Cha Pemba, nao wakulima wa minazi hawako nyuma katika kuimarisha kilimo hicho, pichani baadhi ya wananchi wakichagua minazi bora na mizuri kwenda kupanda ambapo mmoja mche wake unauzwa kati ya shilingi 2000 hadi 2500.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.
REA YAHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA MKAA MBADALA
-
-Yasisitiza ni salama, gharama nafuu na ni rafiki wa mazingira
-Yathibitisha kuendelea kuwawezesha wazalishaji wake
Wakala wa Nishati Vijijini unahamasisha...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment