KUFUATIA Mvua Kuendelea Kunyesha katika maeneo mbali mbali ya Kisiwa Cha Pemba, nao wakulima wa minazi hawako nyuma katika kuimarisha kilimo hicho, pichani baadhi ya wananchi wakichagua minazi bora na mizuri kwenda kupanda ambapo mmoja mche wake unauzwa kati ya shilingi 2000 hadi 2500.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.
RUGAMBWA ATEULIWA KAMATI YA MASHINDANO CHAMA CHA SOKA MKOA WA SONGWE
-
Chama cha Soka Mkoa wa Songwe imemtetua Ndugu Juvenalius Rugambwa kuwa
mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Chama cha Soka Mkoani humo SOREFA.
Rugambwa,...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment