KUFUATIA Mvua Kuendelea Kunyesha katika maeneo mbali mbali ya Kisiwa Cha Pemba, nao wakulima wa minazi hawako nyuma katika kuimarisha kilimo hicho, pichani baadhi ya wananchi wakichagua minazi bora na mizuri kwenda kupanda ambapo mmoja mche wake unauzwa kati ya shilingi 2000 hadi 2500.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.
TIRDO YAFANIKISHA KUFUNGA MTAMBO UNAOONDOA GANDA LAINI LA KOROSHO
-
Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limefanikisha
kufungwa kwa mtambo unaoondoa ganda laini la korosho ili kuongeza thamani
zao hil...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment