Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Viongozi wa Mikoa miwili ya Kusini na Kaskazini Pemba wakati wa ziara yake ya Siku mbili Kisiwani Pemba, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba leo.
MKUU
wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Hemed Suleiman akiwasilisha taarifa ya utekelezaji
ya Mkoa wa Kusini wakati wa mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Ndogo chakechake Pemba leo.
MKUU
wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe. Omar Khamis Othman akisoma taarifa ya
utekelezaji ya Mkoa wake wa Kaskazini Pemba wakati wa mkutano wa Viongozi wa
Mikoa Miwili ya Pemba uliofanyika katika ukumbi Ikulu Ndogo Chakechake Pemba
uliofanyika leo
WAZIRI
wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Ussi Gavu
akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe., Dk. Ali Mohamed Shein, kuzungumza na Viongozi wa Serikali wa
Mikoa miwili ya Kusini na Kaskazini Pemba uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Ndogo Chakechake Pemba leo
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Viongozi wa Mikoa miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba, katika
ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake, akiwa katika ziara yake ya Siku mbili Pemba
BAADHI ya
Viongozi wa Serikali kutoka Mikoa miwili ya Kaskazini na
Kusini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) akizungumza wakati wa
mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba leo.
BAADHI
ya Viongozi wa Serikali na Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama, wakifuatilia
mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa
Ikulu Ndogo Chakechake Pemba, akiwa katika ziara yake ya siku mbili.
BAADHI ya
Viongozi wa Serikali kutoka Mikoa miwili ya Kaskazini na
Kusini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) akizungumza wakati wa
mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba leo
KAMANDA
wa Chuo Cha Mafunzo Sharif Ahmada Ali akisoma dua baada ya kumalizika kwa
mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba.
No comments:
Post a Comment