Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majalia Ziarani Ruangwa

Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa , Kassim Majaliwa  akiwapungia wananchi wakati alipotembea katika mitaa ya Ruangwa Juni 21, 2020. Wa pili kulia ni Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hassim Mgandilwa
Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembelea eneo la Kituo cha Mabasi cha Rungwa 
Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembelea eneo la Kituo cha Mabasi cha Rungwa Juni 21, 2020.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.