SHIRIKA LA UMEME ZANZIBAR (ZECO)
TAARIFA YA MABORESHO YA UMEME LAINI YA MAZIZINI NA MTONI MPENDAE.
Shirika la Umeme Zanzibar (zeco) linawataarifu wateja wake wa line ya KilimaHewa kuwa kutakua na maboresho ya line kubwa ya umeme kwa kubadilisha nguzo kama ifuatavyo:-
Tarehe: 25/07/2020
siku: Jumamosi
muda: saa 3:00 Asubuhi hadi saa 11:30 jioni
line: Line ya Mazizini na Laini ya Mtoni Mpendae.
Sababu: matengenezo ya laini kubwa
Maeneo yatakayokosa umeme ni Maeneo ya Mazizini, mombasa, K/samaki, Mbweni, Chukwani mpaka Buyu.
Laini ya Mtoni Mpendae: mtoni, Daraja bovu, Nyerere, Sebleni, M/kwerekwe, Meli nne, K/Upele, Fuoni mambo sasa, Fuoni kidarajani mpaka Fuoni Chunga.
Usisite kuwasiliana nasi huduma ya simu kwa wateja 0772877879 whatsapp 0772877879
No comments:
Post a Comment