Wachezaji wa Timu ya Zimamoto na Chipukizi wakiwania mpira wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika ckatika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. katika mchezo huo Timu ya Zimamoto imeshinda bao 2-1.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefungua Jengo la Skuli ya Sekondani Kiwani Wilaya ya Mkoani Pemba Ikiwa
ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania
-
Muonekano wa Jengo Jipya la Skuli ya Sekondari Kiwani lililojengwa na
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na kufunguliwa leo 23-4-2024 na Rais wa
Zanzibar na ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment