Wachezaji wa Timu ya Zimamoto na Chipukizi wakiwania mpira wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika ckatika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. katika mchezo huo Timu ya Zimamoto imeshinda bao 2-1.
TANESCO SACCOS YAIGUSA SEKTA YA AFYA KWA KUTOA MASHUKA YENYE THAMANI YA
MILIONI 23 JIJINI DODOMA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amesema pamoja Serikali
kufanya kazi kubwa hasa katika Sekta ya Afya i...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment