Wachezaji wa Timu ya Zimamoto na Chipukizi wakiwania mpira wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika ckatika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. katika mchezo huo Timu ya Zimamoto imeshinda bao 2-1.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment