Habari za Punde

Maonesho ya Kilimo Nanenane Chamanangwe Yavutia Wananchi Pemba.

MMOJA wa Watendaji kutoka Idara ya kilimo Pemba akimwagia maji kitalu maalumu cha mbogamboga, kilichopo katika eneo la Maonyesho ya wakulima nanenae huko Chamanangwe Wilaya ya Wete.
NAIBU waziri wa wizara ya Afya Zanzibar Harous Said Suleiman, akipata maelezo kutoka kwa mmoja ya wataalamu wa kilimo, wakati alipotembelea bustani ya mbogamboga katika banda la idara ya Kilimo huko katika maonyesho ya wakulima nanenae Chamanangwe
MMOJA wa watoa huduma katika banda la kitengo cha Damu salama Pemba, Dk. Soud Khatib akimwangalia mmoja ya wananchi waliojitokeza kuchangia damu salama katika maonyesho ya wakulima huko Chamanangwe Wilaya ya Wete
Mohammed Salim Othaman afisa ufugaji wa mazao ya baharini, kutoka idara ya maendeleo ya Uvuvi Pemba, akiwaonyesha mmoja ya kitoeleo muhimu kwa wataali nchini aina ya Kamba ambaye wanapatikana Zanzibar, wakati wamaonyesho ya wakulima Nanenane huko Chamanangwe.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.