Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya
Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul- Razaq Badru (katikati) akiwa katika mkutano
wa pamoja baina yake na Mkurugenzi wa Muungano kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais (OMR)
Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (kushoto) aliyefika katika Ofisi za HESLB Jijini
Dar es Salaam jana (Agosti 20, 2020) akiwa katika ziara ya kikazi katika
taasisi zinazohudumia pande mbili za Muungano, Tanzania Bara na Zanzibar. Kulia
(koti jeupe) ni Mkuu wa Mawasiliano HESLB, Omega Ngole.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment