Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya
Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul- Razaq Badru (katikati) akiwa katika mkutano
wa pamoja baina yake na Mkurugenzi wa Muungano kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais (OMR)
Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (kushoto) aliyefika katika Ofisi za HESLB Jijini
Dar es Salaam jana (Agosti 20, 2020) akiwa katika ziara ya kikazi katika
taasisi zinazohudumia pande mbili za Muungano, Tanzania Bara na Zanzibar. Kulia
(koti jeupe) ni Mkuu wa Mawasiliano HESLB, Omega Ngole.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment