Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya
Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul- Razaq Badru (katikati) akiwa katika mkutano
wa pamoja baina yake na Mkurugenzi wa Muungano kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais (OMR)
Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (kushoto) aliyefika katika Ofisi za HESLB Jijini
Dar es Salaam jana (Agosti 20, 2020) akiwa katika ziara ya kikazi katika
taasisi zinazohudumia pande mbili za Muungano, Tanzania Bara na Zanzibar. Kulia
(koti jeupe) ni Mkuu wa Mawasiliano HESLB, Omega Ngole.
Dkt. Samia awasili Zanzibar tayari kwa Mikutano ya Kampeni
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiwapungia ...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment