Habari za Punde

Watoto Wakisherehekea Sikukuu ya Eid Al Hajj Kisiwani Pemba.

WATOTO wakike wakisubiri Pembea yao kujaa upepo ili kuweza kuingia na kufurahia skukuu yao, huko katika viwanja vya Jadida Wete 


WATOTO kutoka maeneo mbali mbali ya mji wa Wete, wakiangalia watoto wenzao wakiwa katika moja ya Pembea za kusukuma kwa mkono, katika viwanja vya jadida Wete


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.