Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi
CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akizungumza na Wananchi wa mkoa wa Singida kwenye mkutano wa Kampeni
uliofanyika katika uwanja wa Bombardier uliopo Singida Mjini.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi
CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akizungumza na Wananchi wa mkoa wa Singida kwenye mkutano wa Kampeni
uliofanyika katika uwanja wa Bombardier uliopo Singida Mjini.
Sehemu ya Wananchi waliohudhuria Mkutano wa
Kampeni wa Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Bombardier
uliopo Singida Mjini.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi
CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akiwasili katika uwanja wa Bombardier uliopo Singida Mjini kwa
ajili ya mkutano wa Kampeni za Urais za Chama cha Mapinduzi CCM.
No comments:
Post a Comment