Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC Jaji Mkuu Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahmoud Hamid, akipokea Fomu za Mgombea Urais kupitika Chama cha Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Mwinyi wakati wa zoezi hilo lililofanyika katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara Jijini Zanzibar.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment