Muonekano ya Jengo jipya la Maduka ya Kisasa la Sheikh Thabit Kombo Kisonge Michezani Jijini Zanzibar lililofunguliwa rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein \, baada ya kumalizika kwa ujenzi wake na kukabidhiwa kwa ZSSF msimamizi wa ujenzi huo hadi kukamilika kwake.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe..Dkt. Samia Suluhu Hassan
Amemuapisha Mhe. Hamza Johari Kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Bw. Hamza Saidi Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwenye
hafla...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment