Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia Wanachama wa CCM baada ya mkutano wa Kampeni Kinyerezi leo tarehe 12 Oktoba, 2020 jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Wananchi wa Kinyerezi mkoani Dar es Salaam wakishangilia wakati Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati akinadi sera za CCM
Mgombea Urais kupitia Chama
cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
Wananchi wa Kinyerezi Wilayani Ilala katika muendelezo wa mikutano ya Kampeni
za CCM zilizofanyika katika uwanja wa Kinyerezi jijini Dar es Salaam
Sehemu ya Wananchi wa
Kinyerezi mkoani Dar es Salaam wakishangilia wakati Mgombea Urais kupitia Chama
cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati akinadi sera
za CCM leo tarehe 12 Oktoba, 2020.
No comments:
Post a Comment