Muonekano wa Jengo Jipya la Maduka ya Kisasa la Michezani Mall ambalo limefunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein. Jengo hilo ni Mradi Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF. liko katika eneo la michezani awali eneo hilo lilikuwa na maduka ya makontena na kupisha ujenzi huo mkubwa wa maduka ya kisasa ![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTzKXqsTd0a5sCm9P56reFjHNGGyv7c26a70kJVkTIJbfZq0EtIklsus_4ieMcdOhUC7WWd-0mMEuSDIMhTtSpukVy9iQ62RJvgA4v1MGX91NiiBb2a9eVV_1218YZbTYCvFYHRyAT3Xk/w640-h426/_DSC1810.JPG)
Alliance One yajenga viwanja vya shule ya msingi gharama ya 241m/-
-
Na Mwandishi Wetu Morogoro
Serikali imepokea viwanja vitatu vya michezo pamoja na njia maalum ya
riadha, vilivyojengwa kwa msaada wa kampuni ya tumba...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment