Muonekano wa Jengo Jipya la Maduka ya Kisasa la Michezani Mall ambalo limefunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein. Jengo hilo ni Mradi Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF. liko katika eneo la michezani awali eneo hilo lilikuwa na maduka ya makontena na kupisha ujenzi huo mkubwa wa maduka ya kisasa
RIDHIWANI -WANAFUNZI SOMENI KWA BIDII, ELIMU NDIO NGUO YA MAISHA
-
Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la
Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amewataka wanafunzi na vijana kuacha matumizi
maba...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment