Muonekano wa Jengo Jipya la Maduka ya Kisasa la Michezani Mall ambalo limefunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein. Jengo hilo ni Mradi Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF. liko katika eneo la michezani awali eneo hilo lilikuwa na maduka ya makontena na kupisha ujenzi huo mkubwa wa maduka ya kisasa 
PICHA ZA MATUKIO KIKAO CHA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA
-
*Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana,
Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akijibu hoja mbalimbali za
waju...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment