Muonekano wa Jengo Jipya la Maduka ya Kisasa la Michezani Mall ambalo limefunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein. Jengo hilo ni Mradi Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF. liko katika eneo la michezani awali eneo hilo lilikuwa na maduka ya makontena na kupisha ujenzi huo mkubwa wa maduka ya kisasa 
WAZIRI KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WA HABARI
SABASABA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu,
Mhe. Ridhiwani Kikwete alipotembelea Banda la Bodi ya Ithibati ya Waandish...
9 minutes ago
No comments:
Post a Comment