Habari za Punde

Ufunguzi wa Bohari la Dawa Vitongoji Kisiwani Pemba.

NAIBU Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Harusi Said Suleiman (katikati), akikata utepe kuashiria ufunguzi wa bohari kuu ya Dawa Kisiwani Pemba, kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, hafla iliyofanyika Vitongoji Chake Chake Pemba
Mkurugenzi Bohari kuu ya Dawa Zanzibar Bi.Zahran Ali Hamad, akitoa maelezo kwa Naibu waziri wa wizara ya afya Zanzibar Harous Said Suleiman, wakati alipokuwa akikagua bohari hiyo baada ya kuifungua Rasmi huko Vitongoji Chake Chake Pemba
BAADHI ya dawa zikiwa ndani ya Bohari kuu ya Dawa huko Vitongoji Chake Chake, zikiwa zimehifadhiwa kwa ajili ya kupata kutolewa katika Hospitali na vituo vya afya Pemba

NAIBU katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Halima Maulid Salim, akitoa taarifa ya kitaalamu juu ya ujenzi wa bohari kuu ya dawa Vitongoji Chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.