Habari za Punde

Ufunguzi wa Jengo Jipya la Mama na Mtoto Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini "A" Unguja leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Watoto Zunairah Abdalla Marzuk na Akla Abubakar Salum walioandaliwa kwa ajili ya kumkabidhi mkasi wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo Jipya la Mama na Mtoto lililojengwa katika eneo la Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguyja hafla hiyo imefanyika leo 13/10/2020 katika viwanja vya hospital hiyo Kivunge.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akikata utepe kulifungua Jengo Jipya la Mama na Mtoto Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohame na Daktari Dhamana wa Hospitali ya Kivunge Dkt. Tamin Hamad Said na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe Vuai Mwinyi, hafla hiyo imefanyika leo 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Jamal Adam Taib na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini “A” Unguja Mhe. Vuai Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed, wakati wakitembelea  vyumba vya kulaza wagonjwa wakati wa ufunguzi wa jengo hilo. 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Daktari Dhamana  wa Hospitali ya Kivunge Dkt.Tamim Hamad Said (mwenye koti jeupe) wakati akitembelea wodi za hospitali hiyo baada ya kuifungua leo 13/10/2020 ,na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini “A” Unguja Mhe. Vuai Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed, wakati wakitembelea  vyumba vya kulaza wagonjwa wakati wa ufunguzi wa jengo hilo 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Dkt. Juma Ali Makame  akiwa katika chumba cha kulazwa Watoto Njiti, katika jengo la Mama na Mtoto baada ya kulifungua leo na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed na Dkt Mambi hafla hio imefanyika 13/10/2020, 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Dkt. Juma Ali Makame  wakati akitembelea Wodi ya Watoto Njiti, katika jengo hilo baada ya kulifungua leo 13/10/2020, jengo la Mama na Mtoto Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini”A” Unguja na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed
Muwakilishi wa UNFPA  Ndg. Peter Matiga akizungumza na kutowa salamu wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo Jipya la Mama na Mtoto lilioko katika eneo la Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja. 
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi. Halima Maulid akitowa maelezo ya Kitaalam ya Mradi wa Ujenzi wa jengo jipya la Mama na Mtoto Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini "A" Unguja lililojengwa katika eneo la Hospitali  hiyo  wakati wa hafla ya ufunguzi uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) wakati wa hafla hiyo iliofanyika leo Mkoa wa Kaskazini Unguja.
WAZIRI wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mradi wa Jengo Jipya la Mama na Mtoto Hospotali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja, lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) uliofanyika leo 13/10/2020
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia katika hafla ya Ufunguzi wa Jengo Jipya la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja, ufunguzi huo umefanyika leo katika eneo la Hospitali ya Kivunge
WAKURUGENZI wa Idara mbalimbali wa Wizara  ya Afya Zanzibar  wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya ufunguzi wa Jengo Jipya la Mama na Mtoto Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskaszini “A” Unguja.
WANANCHI wa Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa Jengo Jipya la Mama na Mtoto Hospitali ya Kivunge, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia katika viwanja vya hospitali ya Kivunge.
MADAKTARI  wa Hospitali ya Kivunge Wilaya ya Kaskazinin “A” Unguja wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo baada ya kulifungua jengo jipya la Mama na Mtoto Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
WANANCHI wa Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa Jengo Jipya la Mama na Mtoto Hospitali ya Kivunge, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia katika viwanja vya hospitali ya Kivunge leo 13/10/2020

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.