Habari za Punde

Innaa llilaahi Wainnaa ilayhi Raajiuun - Mchezaji wa zamani wa Timu ya KMKM na Taifa Stars Shaaban Ramadhaan

Innaa llilaahi Wainnaa ilayhi Raajiuun

Mchezaji wa zamani wa Timu ya KMKM na Taifa Stars mchezaji nguli na aliyekuwa Kocha wa Timu Tofauti Zanzibar  Shaaban Ramadhaan amafariki leo Jijini Zanzibar  kwa habari za jamaa wa karibu waq marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho.

Mola amsamehe makosa yake na kumpa kauli thabiti 


 Marehemu Shaaban Ramadhaan enzi za uhai wake alipokuwa kocha wa timu mbalimbali za Zanzibar pia atakumbukwa kwa kuwemo kwenye dream team ya KMKM iliyokuwa ikicheza soka la kitabuni katika miaka ya themanini ilikyokkuwa chini ya kocha Marehemu Mzee Heri

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.