RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya Yamleyamle Cup Nahodha wa Timu ya
Mboriborini Ridhiwani Mohammed Ali, baada ya kuibika mshindi katika mchezo wa
Fainali na Timu ya Mbirimbirini kwa bao 2-1, mchezo uliofanyika katika Uwanja
wa Amaan Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimkabidhi Kombe na Fedha Taslim Nahodha wa Timu ya Mbirimbirini Hassan Vuai
Hassan, baada ya kuibuka mshindi wa Pili wa Michuano ya Kombe la Yamleyamle Cup
mchezo wa Fainali uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akifuatilia mchezo wa Fainali wa Kombe la Yamleyamle Cup kati ya Mborimborini
na Mbirimbirini uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar na (kushoto kwa
Rais) Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita na
Mke wa Rais wac Zanzibar Mama Maryam Mwinyi, katika mchezo huo Timu ya
Mboriborini imeibuka na ushindi wa bao 2 -1.
MSHAMBULIAJI
wa Timu ya Mbirimbirini Selembe akijiaribu kumpita beki wa Timu ya Mboriborini
katika mchezo wao wa Fainali ya Kombe la Yamleyamle Cup uliofanyika katika
Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar,Timu ya Mboriborini imeshinda mchezo huo kwa
bao 2-1
WAPENZI
wa soka Zanzibar wakifuatilia mchezo wa Fainali ya Kombe la Yamleyamle Cup kati
ya Mboriborini na Mbirimbirini uliofanyika katikia Uwanja wa Amaan Timu ya
Mboriborini imeshinda mcheo huo kwa bao 2-1
WAPENZI
wa soka Zanzibar wakifuatilia mchezo wa Fainali ya Kombe la Yamleyamle Cup kati
ya Mboriborini na Mbirimbirini uliofanyika katikia Uwanja wa Amaan Timu ya
Mboriborini imeshinda mcheo huo kwa bao 2-1
WAPENZI
wa soka Zanzibar wakifuatilia mchezo wa Fainali ya Kombe la Yamleyamle Cup kati
ya Mboriborini na Mbirimbirini uliofanyika katikia Uwanja wa Amaan Timu ya
Mboriborini imeshinda mcheo huo kwa bao 2-1
WAPENZI
wa soka Zanzibar wakifuatilia mchezo wa Fainali ya Kombe la Yamleyamle Cup kati
ya Mboriborini na Mbirimbirini uliofanyika katikia Uwanja wa Amaan Timu ya
Mboriborini imeshinda mcheo huo kwa bao 2-1
No comments:
Post a Comment