Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amewaapishwa Wakuu wa Mikoa Aliowateua Karibuni.



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe.Rashid Hadidu Rashid, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 3/12 /2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe Idrisa Kitwana Mustafa, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 3/12/2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba aliyemteua hivi karibuni Mhe Salama Mbarouk Khatib, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)


WAKUU wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) baada ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa  wapya,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.(Picha na Ikulu)


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba aliyemteua hivi karibu Mhe.Mattar Zahor Masoud, hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
WAKUU wa Wilaya na Wanafamilia wakifuatila hafla ya kuapishwa kwa Wakuu wa Mikoa wa Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo, wakiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) hafla hiyo imefanyika leo 3/12/2020.(Picha na Ikulu)

 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na Utawala Bora.Mhe.Haroun Ali Suleiman na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.Mhe.Masoud Ali Mohammed, wakifuatilia hafla ya uapishaji wa Wakuu wa Mikoa walioteuliwa hivi karibuni, hafla hiyo imefanyikakatika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
WAKWANZA kutoka kushoto Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe.Dkt. Mwinyi Talib Haji na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia baada ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wa Zanzibar aliowateua hivi karibuni, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
WAKUU wa Mikoa Wapya wa Zanzibar wakifuatili kwa makini hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wa Zanzibar katika hafla iliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.