Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi na Maendekleo ya Makaazi Ndg. Ali Halil Mirza akimkabidhi mfano wa huti Mchezaji Bora wa Mchezo wa Mapinduz Cup Miraji Othman baada ya kuibuka mchezaji Bora katika mchezo wa Timu yake na Chipukizi Mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan jana usiku.,
Uzinduzi wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha
ADA-TADEA Viwanja vya Magirisi Wilaya ya Magharibi "B" Unguja
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha ADA -TADEA Mhe. Juma Ali Khatib
(kulia )akikabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya Chama hicho,
wakati wa U...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment