Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi na Maendekleo ya Makaazi Ndg. Ali Halil Mirza akimkabidhi mfano wa huti Mchezaji Bora wa Mchezo wa Mapinduz Cup Miraji Othman baada ya kuibuka mchezaji Bora katika mchezo wa Timu yake na Chipukizi Mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan jana usiku.,
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment