Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi na Maendekleo ya Makaazi Ndg. Ali Halil Mirza akimkabidhi mfano wa huti Mchezaji Bora wa Mchezo wa Mapinduz Cup Miraji Othman baada ya kuibuka mchezaji Bora katika mchezo wa Timu yake na Chipukizi Mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan jana usiku.,
Makamu wa Pili wa Rais mgeni rasmi mahafali ya Nane ya Zanzibar School of Health ZSH
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Hemed Suleiman Suleiman Abdulla
akiyapokea maandamano ya Wahitimu wa Chuo cha Afya cha Kwamchina Mwanzo {
Zanzibar...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment