Habari za Punde

Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup Timu ya Namungo Yaibuka na Ushindi wa Bao 2- 0

Mshambuliaji wa Timu ya Namungo Steven  Sey akimpita beki wa Timu ya Jamuhuri Yussuf Makame wakati wa mchezo wa Kombe la Mapinduzi mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu ya Namungo imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.

Mshambuliaji wa Timu ya Jamuhuri Ali Othman akimpita mchezaji wa Timu ya Namungo Yussuf Makame wakati wa mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup mchezo uliofanyika Uwanja wa Amani Jijini Zanzibar.

Mshambuliaji wa Timu ya Jamuhuhui Suleiman Nassor na mchezaji wa Timu ya Namungo Khamis Khalfan wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup uliofanyika katika Uwanja wa Amani Jijini Zanzibar.

Mchezaji wa Namungo  Steven Sey na mchezaji wa Timu ya Jamuhuri Ibrahim Kombo wakiwania mpira katika mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi Cup mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.

Beki wa Timu ya Jamuhuri Abuu Ali akijiandaa kuondoa mpira huku mchezaji wa Timu ya Namungo Erick Kwizera akiwania mpira huo wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi Cup mchezo uliofanyika katika uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.