Habari za Punde

Naibu Waziri wa Elimu Atembelea Ofisi za Bodi ya Mikopo Tanzania

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul-Razaq Badru akimkakaribisha Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Omary Kipanga katika Ofisi za HESLB zilizopo Tazara Jijini Dar es Salaam wakati wa alipofanya ziara yake ya kikazi ya kuitembelea Ofisi ya HESLB, Tazara Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na menejimenti ya HESLB leo Jumatatu (Januari 4, 2020).

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga akisalimiana na Mkurugenzi wa Uchambuzi na Upangaji Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Veronica Nyahende wakati wa ziara yake ya kikazi ya kuitembelea Ofisi ya HESLB, Tazara Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na menejimenti ya HESLB 
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga akisalimiana na Mkurugenzi Msaidizi wa Urejeshaji Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Phidelis Joseph wakati wa ziara yake ya kikazi ya kuitembelea Ofisi ya HESLB, Tazara Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na menejimenti ya HESLB
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga akifurahia jambo na Mkurugenzi Msaidizi wa Upangaji Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) John Felix wakati wa ziara yake ya kikazi ya kuitembelea Ofisi ya HESLB, Tazara Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na menejimenti ya HESLB 
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul-Razaq Badru (kulia) akitoa ufafanuzi wa jambo kwa Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Omary Kipanga (kushoto) wakati wa ziara yake ya kikazi ya kuitembelea Ofisi ya HESLB, Tazara Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na menejimenti ya HESLB, leo Jumatatu (Januari 4, 2020). Katikati ni Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo wa HESLB
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Omary Kipanga akizungumza jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul-Razaq Badru wakati wa ziara yake ya kikazi ya kuitembelea Ofisi ya HESLB,Tazara Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na menejimenti ya HESLB leo Jumatatu 

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Omary Kipanga akipokea moja ya machapisho yanayochapishwa na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakati wa ziara ya kikazi ya kuitembelea Ofisi ya HESLB, Tazara Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na menejimenti ya HESLB leo Jumatatu (Januari 4, 2020).
(PICHA NA BODI YA MIKOPO-HESLB)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.