Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi Amelifungua Kongamano la Pili la Amani Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baeraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi baada ya kuwasili katika viwanja vya hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini kuhudhuria ufunguzi wa Kongamano la Pili la Amani Zanzibar lililoandaria na Friends of Zanzibar . 
MUFTI Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi akizungumza katika hafla la Kongamano la Pili la Amani Zanzibar lililoandaliwa na Friends of Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Jijini Zanzibar

MUFTI Mkuu wa DRC - Congo Sheikh Abdalla Luamba Mangara akitowa Salamu za Friends of Zanzibar wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Kongamano la Pili la Amani Zanzibar uliofanyika katiuka ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Jijini Zanzibar
BALOZI wa Norway Nchini Tanzania Mhe.Elisabeth Jacobsen akitowa salamu ya Nchi yake wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Kongamano la Pili la Amani Zanzibar lililoandaliwa na Friends of Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Balozi wa Norway Nchini Tanzania Mhe,Elisabeth Jacobsen akitowa salamu wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Kongamano la Amani Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Zanzibar na kuandaliwa na Friends of Zanzibar
WAZIRI wa Nchi Afisi ya Rais Sheria Katiba Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman, akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Kongamano la Pili la Amani Zanzibar lililoandaliwa na Friends of Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Jijini Zanziba


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika ufunguzi wa mkutano wa Kongamano la Pili la Amani Zanzibar lililoandaliwa na Friends of Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar beach resort Jijini Zanzibar, (kulia kwa Rais) Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.Mhe. Zuberi Ali Maulid, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.Maalim Seif Sharif Hamad na Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Sheria,Katiba Utumishi na Utawala Bora Zanzibar.Mhe. Haroun Ali Suleiman
WAJUMBE wa Mkutano wa Kongamano la Pili la Amani Zanzibar lililoandaliwa na Friends of Zanzibar, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) lililofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Zanzibar.
VIONGOZI wa Serikali wakifuatilia ufunguzi wa Mkutano wa Kongamano la Pili la Amani Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akilihutubia na kulifungua katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini wa kwanza Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Dkt. Mwinyi Talib Haji, Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa  na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman
BAADHI ya Wageni Waalikwa Mabalozi wanaowakilisha Nchi zao Nchini Tanzania wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kongamano la Pili la Amani Zanzibar, wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kongamano hilo lililoandaliwa na Friends of Zanzibar katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Zanzibar.

BAADHI ya Mawaziri na Mkuu wa Mkoa wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Kongamano la Pili la Amani Zanzibar, lililoandaliwa na Friends of Zanzibar katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Mazizini Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizindua Kalenda Amani Milele, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kongamano la Pili la  Amani lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Zanzibar na (kulia kwa Rais) Mwakilishi wa Waandishi waliopata Elimu ya Amani Ndg.Abubakar Harith na Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Sheria Katiba Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akionesha Kalenda ya Amani Milele baada ya kuizindua katika hafla ya Ufunguzi wa Mkutano wa Kongamani la Pili la Amani lililofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort na (kulia kwa Rais) Mwakilishi wa Waandishi wa habari waliopata mafunzo ya Amani Ndg.Abubakar Harith na Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Sheria Katiba Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman.


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.