Habari za Punde

Waziri Ummy Mwalimu Amefanya Ziara ya Kushtukiza Soko la Majengo Dodoma

 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na wafanyabiashara aliowakuta katika soko la Majengo jijini Dodoma wakati alipofanya ziara ya kushtukiza ya kukagua mfumo na miundombinu ya kushughulikia taka ngumu katika soko la majengo jijini Dodoma leo Januari 16, 2021.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Ummy Mwalimu akizunguka kukagua mazingira ya soko la majengo jijini Dodoma leo Januari 6, 2021 alipofanya ziara ya kushtukiza. Wengine pichani wa pili kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira, Kemilembe Mutasa na Afisa Mipango Miji kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Hussein Omari.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Ummy Mwalimu akisikiliza maoni ya wafanyabiashara aliowakuta katika soko la Majengo jijini Dodoma wakati alipofanya ziara ya kushtukiza ya kukagua mfumo na miundombinu ya kushughulikia taka ngumu katika soko la majengo jijini Dodoma leo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Ummy Mwalimu akiwa katika ziara ya kushtukiza ya kukagua mfumo na miundombinu ya kushughulikia taka ngumu katika soko la majengo jijini Dodoma leo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Ummy Mwalimu akizingumza na waandishi wa habari wakati akihitimisha ziara ya kushtukiza kwa ajili ya kukagua mfumo na miundombinu ya kushughulikia taka ngumu katika soko la majengo jijini Dodoma

                                          (PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)



Waziri Ummyaelekezahalmashauriziwekemiundombinu bora ya taka sokoni

Waziri waNchiOfisiyaMakamuwaRais (MuunganonaMazingira), Mhe. UmmyMwalimuamezielekezahalmashaurizotenchinikuwanamiundombinu bora yakukusanya,kuhifadhinakusafirisha takailikulindaafyazawananchi.

Mhe. UmmyametoamaelekezohayoleoJanuari 6, 2021baadayakufanyaziarayakushtukizakatikasoko la Majengojijini Dodomakwalengo la kuangaliamfumomzimawakushughulikia taka ngumu.

KatikaziarahiyoakiwaameambatananawatendajikutokaOfisiyaMakamuwaRaisIdarayaMazingira, Waziri Ummyalioneshakuridhishwanahaliyamazingirasokonihaponakuipongezahalmashauriyajijihilo.

Akizungumzamarabaadayakukaguasokohiloalizitakahalmashaurizotenchinikuhakikishazinatoakandarasikwawatuwakukusanyanakusafirisha taka wenyevifaa borakwaajiliyakazihiyo.

Waziri huyoalisisitizakuwakutafanyikaukaguziwakuonakamawakandarasihaowanavigezonasifazikiwemokuwanavifaavyakuwakingiawatumishiwanaokusanya taka.

“Tumeonagarizakukusanyanakusafrisha taka zenyewezikiwanitakatakakwahiyotutakaguakilahalmashauriwajitathmini je, kandarasihiiwaliyompamtuwakukusanya, kuhifadhinakusafirisha taka anavifaa bora. Hizinisalamututunatakamasokoyawesafinasalamakwawanaouzanawateja, kikubwatunasemamazingirasafinasalamakwaajiliyamaendelevu,” alisisitizaUmmy.

Aidha, alisisitizapaweponautaratibuwakuondoa taka zinazokusanywanakuhifadhiwakwenyemasokokwawakatinakuwahatavumiliakuonahalmashauriyoyoteambayotakatakazinakaakwazaidiyasikumojahatuaitakasaidiakulindaafyazawatumiajiwamasoko.

SheriayaUsimamiziwaMazingirayamwaka 2004 nakanunizakeinazitakahalmashaurizotezamajiji, manispaa, mijinawilayakuwekamifumo bora yakukusanya, kuhifadhinakusafirisha taka.

Kwa upande wake MkuuwaIdarayaMazingiranaUdhibitiwa taka ngumuJijini la Dodoma, Dickson Kimaroalisemawanachangamotoyakypoteakwavifaawanavyopewavibaruanakuahidikuendeleakutoavifaavifaahivyo.

AfisaAfyawa Kata yaMajengo, YustaMaguzualimpongeza Waziri Ummykwaziarahiyonakuahidikuendeleakusimamiavyemamazingirakatika kata yakeilikusaidiakupunguzamagonjwayamlipuko.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.