Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana na Mzee Ali Ameir alipofika nyumbani kwake Donge karange Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja kumtembelea na kumjulia hali yake.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Mzee Ali Ameir alipofika nyumbani kwake Dongo kwa mazungumzo na kumjulia hali yake.
Picha na OMPR.
No comments:
Post a Comment