Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kiwanda cha Ushonaji Bohari Kuu ya Jeshi la Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akitoka kukagua Majengo ya Madarasa ya Chuo cha Taaluma cha Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam mara baada ya kuyafungua leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akizungumza na Maafisa
mbalimbali wa Jeshi la Polisi pamoja na Wananchi mara baada ya kuweka jiwe la
msingi Ujenzi wa Kiwanda cha ushonaji Bohari Kuu ya Jeshi la Polisi na kufungua
Ofisi, Madarasa na Mabweni ya Chuo cha Taaluma cha Polisi Kurasini mkoani Dar
es Salaam
Maafisa mbalimbali wa Jeshi
la Polisi pamoja na wananchi wakisikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufulikatika Chuo cha Taaluma cha
Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam leo
Maafisa mbalimbali wa Jeshi
la Polisi pamoja na wananchi wakisikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufulikatika Chuo cha Taaluma cha
Polisi Kurasini mkoani Dar es Salaam leo
No comments:
Post a Comment